Jumatatu, 27 Machi 2017

NMB YAWAWEZESHA WATEJA WAKE KUTUMA PESA KWENDA BENKI NYINGINE KUPITIA NMB MOBILE.

Kaimu Meneja Mwandamizi wa Amana, Huduma za Bima na Huduma za Ziada katika Benki ya NMB, Stephen Adili akizungumza na wanahabari (Hawapo pichani)
Akizungumza katika hafla ya kuitambulisha huduma hiyo Adili alisema, Huduma hii inakuja kumaliza tatizo la wateja kutumia muda mwingi kwenye mchakato wa kuhamisha fedha. Muda ni mali na kwa kulitambua hilo, tumekuja na huduma hii ambayo inafanyika popote, hata ukiwa ufukweni unapunga upepo.”

Hakuna maoni: