Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akitangaza mgeni rasmi wa Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 16 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Msama amemtaja Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mh. Mwigulu Nchemba kuwa ndiye atakuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni